Zdislava

From Wikipedia, the free encyclopedia

Zdislava
Remove ads

Zdislava Berka (pia: Zdislava wa Lemberk; 1220 hivi - 1252) alikuwa mke wa mtawala wa Lemberk (Ucheki).

Thumb
Mt. Zdislava kadiri ya utafiti wa mwaka 2018.

Mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Dominiko, alikuwa maarufu kwa moyo wake wa ibada na wa huruma kwa wahitaji.

Anaheshimiwa na Wakatoliki kama mtakatifu tangu alipotangazwa na Papa Yohane Paulo II tarehe 21 Mei 1995.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 1 Januari[1].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads