Zeno wa Nikomedia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Zeno wa Nikomedia (alifariki Nikomedia, leo Izmit, nchini Uturuki, 362 hivi) alikuwa Mkristo wa Dola la Roma aliyefia imani yake wakati wa kaisari Juliani Mwasi[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini, pengine pamoja na wanae Konkordi na Teodori.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 2 Septemba.[2]

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads