Belarus
From Wikipedia, the free encyclopedia
Belarus (kwa Kibelarus: Беларусь (Kikyrili) au Biełaruś (Kilatini); kwa Kirusi:Белоруссия ) ni nchi ya Ulaya ya Mashariki inayopakana na Urusi, Ukraine, Poland, Lithuania na Latvia.
Ukweli wa haraka
| |||||
Kaulimbiu ya taifa: -- | |||||
Wimbo wa taifa: Belarusian: Мы, беларусы (Mi Belarusi) ("Sisi Wabelarus") | |||||
Mji mkuu | Minsk 53°55′ N 27°33′ E | ||||
Mji mkubwa nchini | Minsk | ||||
Lugha rasmi | Kibelarus, Kirusi | ||||
Serikali Rais Waziri Mkuu |
Jamhuri Alexander Lukashenko Roman Golovchenko | ||||
Uhuru Ilitangazwa ilianzishwa ilikamilishwa |
27 Julai 1990 25 Agosti 1991 25 Desemba 1991 | ||||
Eneo - Jumla - Maji (%) |
207,600 km² (ya 84) kidogo sana (183 km²)[1] | ||||
Idadi ya watu - 2016 kadirio - 2009 sensa - Msongamano wa watu |
9,498,700 (ya 93) 9,503,807 45.8/km² (ya 142) | ||||
Fedha | Rubel ya Belarus (BYN ) | ||||
Saa za eneo - Kiangazi (DST) |
FET (UTC+3) FET (UTC+3) | ||||
Intaneti TLD | .by | ||||
Kodi ya simu | +375
- |
Funga
Mji mkuu ni Minsk na miji mingine ni pamoja na Brest, Grodno, Gomel, Mogilev na Vitebsk.
Idadi ya wakazi inapungua: ni watu 9,498,700 (2016).