C
From Wikipedia, the free encyclopedia
C ni herufi ya tatu katika alfabeti ya Kilatini. Katika matumizi ya Kiswahili kwa kawaida inatokea tu pamoja na "h" kuwa "ch". C peke yake si kawaida katika maneno ya Kiswahili isipokuwa katika majina ya kigeni.
Maelezo zaidi Alfabeti ya Kilatini (kwa matumizi ya Kiswahili) ...
Alfabeti ya Kilatini (kwa matumizi ya Kiswahili) | ||||||
---|---|---|---|---|---|---|
Aa | Bb | Cc | ch | Dd | ||
Ee | Ff | Gg | Hh | Ii | Jj | |
Kk | Ll | Mm | Nn | Oo | Pp | |
Rr | Ss | Tt | Uu | Vv | ||
Ww | Xx | Yy | Zz |
Funga