From Wikipedia, the free encyclopedia
Katerina wa Ricci (Firenze, Italia, 23 Aprili 1522 - Prato, Italia, 2 Februari 1590) alikuwa bikira mwenye vipaji na karama za pekee[1] aliyemfuata tangu ujanani Yesu Kristo katika familia ya kiroho iliyoanzishwa na Dominiko Guzman (Utawa wa Tatu wa Mt. Dominiko). Alijitosa katika upyaisho wa kidini na katika kutafakari mafumbo ya mateso ya Yesu, akijaliwa kuyashiriki kwa karama za pekee.
Katerina alitangazwa na Papa Klementi XII kuwa mwenye heri tarehe 23 Novemba 1723, halafu akatangazwa na Papa Benedikto XIV kuwa mtakatifu tarehe 29 Juni 1746.
Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe aliyoaga dunia[2].
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.