Mcheri
From Wikipedia, the free encyclopedia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Micheri ni miti ya jenasi Prunus, na nusujenasi Cerasus. Matunda yao huitwa cheri. Kuna spishi nyingi za micheri, lakini mbili tu hupandwa sana katika Ulaya na Asia na pia katika Amerika, Australia na Afrika ya Kaskazini-magharibi: mcheri mtamu (Prunus avium) na mcheri mchachu (P. cerasus).
Mcheri (Prunus spp.) | ||||||||||||||||||||
---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|---|
Mcheri uliotoa maua | ||||||||||||||||||||
Uainishaji wa kisayansi | ||||||||||||||||||||
|
Makala hii kuhusu mmea fulani bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Mcheri kama uainishaji wake wa kibiolojia, uenezi au matumizi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.