From Wikipedia, the free encyclopedia
Pankrasi wa Taormina (Adana, leo nchini Uturuki, karne ya 1 - Taormina, Sicilia, Italia, 98 hivi) alikuwa Mkristo wa karne ya 1.
Inasemekana akiwa mtoto alimfahamu Yesu akabatizwa na Mtume Petro ambaye alimtuma Taormina kama askofu wa kwanza wa mji huo.
Baada ya kuongoa wengi, aliuawa kwa sababu ya imani yake[1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.