From Wikipedia, the free encyclopedia
Reggio Calabria (kwa usahihi zaidi: Reggio di Calabria; kifupi hata Reggio, ingawa kifupi hicho kinaweza kumaanisha pia Reggio nell'Emilia) ni mji wa Italia Kusini katika mkoa wa Calabria.
Reggio Calabria | |
Majiranukta: 38°06′41″N 15°39′43″E | |
Nchi | Italia |
---|---|
Mkoa | Calabria |
Wilaya | Reggio Calabria |
Idadi ya wakazi | |
- Wakazi kwa ujumla | 186,006 |
Tovuti: www.reggiocal.it |
Mji upo mita 31 juu ya usawa wa bahari.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji una wakazi wapatao 200,330 wanaoishi katika mji huu.
Mtume Paulo alipitia huko kuelekea Roma mwaka 61 (Mdo 28:13).
Askofu wake wa kwanza alikuwa Stefano wa Nisea ambaye alifika huko pamoja naye afadia dini mwaka 78 hivi.
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.