Mchapishaji, mhariri, mwandishi mwanaharakati wa haki za wanawake From Wikipedia, the free encyclopedia
Carin Sophie Adlersparre née Leijonhufvud (6 Julai 1823 – 27 Juni 1895) [1] alikuwa mmoja wa waanzilishi wa harakati za haki za wanawake mnamo karne ya 19 nchini Uswidi.
Alikuwa mwanzilishi na mhariri wa jarida la kwanza la wanawake katika Skandinavia, Home Review ( Tidskrift för hemmet ), mnamo mwaka 1859 -1885; mwanzilishi mwenza wa Friends of Handicraft ( Handarbetets vänner ) mnamo 1874-87; mwanzilishi wa Chama cha Fredrika Bremer ( Fredrika-Bremer-förbundet ) mnamo mwaka 1884; na mmoja wa wanawake wa kwanza kuwa mshiriki wa kamati ya serikali nchini Uswidi mnamo 1885. Anajulikana pia kwa jina la Esselde .
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.