From Wikipedia, the free encyclopedia
Uchaguzi wa Rais wa Marekani, mwaka wa 1912 ulikuwa wa 32 katika historia ya Marekani. Ukafanywa Jumanne tarehe 5 Novemba. Upande wa "Democratic Party", Woodrow Wilson (pamoja na kaimu wake Thomas Marshall) aliwashinda mgombea wa "Republican Party" Rais William Howard Taft (pamoja na kaimu wake Nicholas Butler) na mgombea wa "Progressive Party", Rais wa zamani Theodore Roosevelt (pamoja na kaimu wake Hiram Johnson).
Wilson akapata kura 435, Roosevelt 88 na Taft nane tu. Ramani yaonyesha kura kwa kila jimbo.
Makala hii kuhusu mambo ya siasa bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Every time you click a link to Wikipedia, Wiktionary or Wikiquote in your browser's search results, it will show the modern Wikiwand interface.
Wikiwand extension is a five stars, simple, with minimum permission required to keep your browsing private, safe and transparent.