33Miles

From Wikipedia, the free encyclopedia

33Miles
Remove ads

33Miles ni bendi ya nyimbo za kisasa za Kikristo ambao una mvuto kutoka nyimbo za nchi hasa kutoka sehemu za Franklin, Tennessee. Walianza kucheza muziki yao huko Nashville wakiwa na mkataba na INO Records,studio ambayo ilitoa albamu ya kwanza ya bendi hilo,33 miles,katika mwaka wa 2007. Albamu ilikuwa #8 katika chati ya Billboard Top Heatseekers na #16 katika chati ya Top Christian Albums. Katika wimbo wao wa 2007,There is a God walikuwa wakitaka kuwafahamisha wanasayansi waliokuwa wakisafiri kuenda katika utupu unaozunguka ulimwengu.Iliimbwa mnamo tarehe 3 Septemba 2009 wanasayansi wale walipokuwa wakitaka kupanda ndege yao.[1]

Ukweli wa haraka Bebo Norman, Maelezo ya awali ...
Remove ads

Wanachama

  • Jason Barton - mwimbaji kiongozi (alitoka True Vibe)
  • Chris Lockwood - mchezaji gitaa
  • Collin Stoddard - mchezaji piano

Diskografia

Albamu

Nyimbo

Maelezo zaidi Mwaka, Wimbo ...
Remove ads

Tuzo

  • Kuchaguliwa kama Washindani katika Wasanii wapya bora katika tuzo za 2009 za Visionary [2]

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads