Abrahamu wa Skete
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Abrahamu wa Skete (alifariki 399) ni kati ya Wakristo wamonaki maarufu wa Misri.
Mtoto wa kabaila, alijiunga na monasteri. Kabla hajafa aliteseka miaka 18 kwa ugonjwa wake.
Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi wa Mashariki kama mtakatifu.
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads