Agata Lin Zhao

From Wikipedia, the free encyclopedia

Agata Lin Zhao
Remove ads

Agata Lin Zhao (1817 hivi - Maokou 28 Januari 1858) alikuwa bikira mlei wa China aliyefia Ukristo kwa kukatwa kichwa pamoja na makatekista wenzake Jeromu Lu Tingmei na Laurenti Wang Bing chini ya kaisari Wenzongxian [1].

Thumb
Wafiadini Wakatoliki wa China.
Thumb
Masalia yake, Lyon, Ufaransa.

Papa Yohane Paulo II alimtangaza mtakatifu pamoja na wengine 119 tarehe 1 Oktoba 2000.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 9 Julai, ila ya kwake mwenyewe tarehe 28 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads