Agathius

From Wikipedia, the free encyclopedia

Agathius
Remove ads

Agathius au Akasio au Agathonas (kwa Kigiriki: Ακακιος; alifariki 303/304), alikuwa akida wa jeshi la Dola la Roma kutoka Kapadokia aliyeuawa mjini Bizanti (leo Istanbul, nchini Uturuki) kwa sababu ya imani yake ya Kikristo katika dhuluma ya makaisari Dioklesyano na Maximian[1].

Thumb
Kifodini cha Mt. Agathius kilivyochorwa katika karne ya 16 huko Toledo, Hispania.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi[2] kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 8 Mei[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads