Agrikola wa Nevers

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Agrikola wa Nevers (alifariki 594) alikuwa askofu wa 7 wa mji huo (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 570/580 hadi kifo chake; kabla ya hapo alikuwa mtawala [1].

Alishiriki mitaguso mitatu huko Ufaransa.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 26 Februari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads