Ahero

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ahero
Remove ads

Ahero ni mji wa Kenya katika Kaunti ya Kisumu.

Thumb
Mashamba ya mpunga sehemu ya nje ya mji.
Ukweli wa haraka Nchi, Kaunti ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, mji pamoja na eneo lake lote una wakazi wapatao 76,828[1].

Ahero ni kata ya kaunti ya Kisumu, Eneo bunge la Nyando, nchini Kenya[2].

Remove ads

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads