Aix-en-Provence
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Aix-en-Provence ni mji wa Ufaransa katika mkoa wa Provence-Alpes-Côte d'Azur.


Mji upo m 73-511 juu ya usawa wa bahari, km 30 kaskazini kwa Marseille.
Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2006, wakazi wapatao 140,000 wanaishi katika mji huu.
Remove ads
Tazama pia
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Aix-en-Provence kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads