Ajeriki
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ajeriki (pia: Agericus, Airy, Aguy; Harville, karibu na Verdun, Meuse, Galia Kaskazini, leo Ufaransa, 521 hivi - Verdun, 588) alikuwa askofu wa mji huo.
Alijenga makanisa na mabatizio. Pia alisumbuliwa sana na mfalme Theodoriki I kwa sababu aligeuza kanisa lake kuwa kimbilio la waliodhulumiwa [1].
Alisifiwa na rafiki yake askofu Gregori wa Tours [2] na Venansi Fortunati [3].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads