Aleksanda wa Filomelio na wenzake
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Aleksanda wa Filomelio na wenzake askari 30 (walifariki Filomelio, Frigia, leo nchini Uturuki, karne ya 4) walikuwa Wakristo waliouawa kwa imani yao chini ya Magnus, liwali wa Antiokia wa Pisidia [1].
Hao wote walianza kuheshimiwa mapema kama watakatifu na wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads