Aleksanda wa Filomelio na wenzake

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Aleksanda wa Filomelio na wenzake askari 30 (walifariki Filomelio, Frigia, leo nchini Uturuki, karne ya 4) walikuwa Wakristo waliouawa kwa imani yao chini ya Magnus, liwali wa Antiokia wa Pisidia [1].

Hao wote walianza kuheshimiwa mapema kama watakatifu na wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 13 Julai[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads