Bata-shimo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bata-shimo
Remove ads
Remove ads

Mabata-shimo ni ndege wa maji wa nusufamilia ya Tadorninae katika familia ya Anatidae. Mabata hawa ni katikati ya mabata wachovya na mabata bukini kwa ukubwa na kwa umbo. Wanaitwa mabata-shimo kwa sababu spishi nyingi hutaga mayai ndani ya shimo la mti au pango la sungura, mhanga n.k. Hula wanyamakombe, kaa, wadudu, nyungunyungu au manyasi, mimea ingine na mbegu. Wakiruka angani wanafanana zaidi na mabata bukini kuliko na mabata wachovya.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Remove ads

Spishi za mabara mengine

Remove ads

Spishi za kabla ya historia

  • Alopochen sirabensis (Malagasy Shelduck, Madagaska) - labda spishi ndogo ya A. mauritianus
  • Centrornis majori (Malagasy sheldgoose, Madagaska)
  • Pachyanas chathamica (Chatham Island Duck, Visiwa vya Chatham)
  • Tadorna cf. variegata (Chatham Islands Shelduck, Visiwa vya Chatham)

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads