Alto

From Wikipedia, the free encyclopedia

Alto
Remove ads

Alto (alifariki huko Bavaria, Ujerumani, 760 hivi) alikuwa mmonaki mwenye asili ya Ireland, maarufu kwa kuanzisha msituni monasteri nchini Ujerumani, ambayo baadaye ilizungukwa na wananchi hata kuunda kijiji chenye jina lake hata leo[1].

Thumb
Mt. Alto alivyochorwa.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 9 Februari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads