Amadeo wa Amidei

From Wikipedia, the free encyclopedia

Amadeo wa Amidei
Remove ads

Amadeo wa Amidei (alifariki Monte Senario, Italia, 1266) alikuwa mmojawapo[1] kati ya waanzilishi saba wa shirika la Watumishi wa Maria[2].

Thumb
Waanzilishi saba pamoja.

Alitangazwa na Papa Klementi XI kuwa mwenye heri tarehe 1 Desemba 1717, halafu Papa Leo XIII alimtangaza mtakatifu pamoja na wenzake tarehe 15 Januari 1888.

Sikukuu yao inaadhimishwa kila tarehe 17 Februari[3].

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya Kilatini

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads