Msamaha (sheria)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Msamaha (kwa Kiingereza: Amnesty) ni msamaha unaotolewa na serikali kwa kikundi cha watu, kwa kawaida kwa ajili ya makosa ya kisiasa;[1] kitendo cha mamlaka huru kusamehe kikundi cha watu fulani ambao wamefunguliwa mashitaka ila bado hawajahukumiwa. Japo neno Msamaha wa jumla lina maana sawa.[2] Amnesty inajumuisha zaidi ya msamaha, kwa kiasi inafuta ukumbusho wote wa kosa. Hii inazidi kutumika kuelezea wazo la uhuru na kurejea pale wafungwa wanapoachwa huru.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads