Amonia

From Wikipedia, the free encyclopedia

Amonia
Remove ads

Amonia ni kampaundi ya nitrojeni na hidrojeni yenye fomula NH3. Ni bidhaa muhimu viwandani. Mwaka 2006, uzalishaji duniani ulifika tani milioni 146.5. [1] Ingawa amonia hupatikana sana katika uasilia na hutumika kila mahali, kemikali hii ni caustic na madhara katika fomu yake isiyochujuka. Katika kaya hutumika kusafisha vyombo.

Thumb
Amonia molekuli

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads