Ansfridi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ansfridi
Remove ads

Ansfridi (Ubelgiji, 940 hivi – Leusden, leo nchini Uholanzi, 3 Mei 1010) alikuwa mtawala wa Huy, maarufu kwa maadili ya Kikristo pamoja na mke wake na binti yao pekee.

Thumb
Sanamu ya Mt. Ansfridi huko Huy.

Alipofiwa mke wake, alitaka kujiunga na monasteri, lakini kaisari Oto III alimfanya askofu mkuu wa Utrecht mwaka 955 akaongoza jimbo hilo hadi kifo chake, ingawa alipozidi kudhoofika kutokana na malipizi yake akawa mmonaki kama alivyotamani kama moja ya monasteri alizozianzisha [1][2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa katika tarehe 3 Mei[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads