Antoni Maria Zakaria

From Wikipedia, the free encyclopedia

Antoni Maria Zakaria
Remove ads

Antoni Maria Zakaria (kwa Kiitalia Antonio Maria Zaccaria; Cremona, 1502 - Cremona, 5 Julai 1539) alikuwa padri na tabibu kutoka Italia kaskazini.

Thumb
Mt. Antoni Maria.

Alianzisha shirika la Makleri wa Mt. Paulo, maarufu kama Wabarnaba, ila kuamsha maisha ya kiroho ya waumini [1].

Alitangazwa na Papa Leo XIII kuwa mwenye heri tarehe 3 Januari 1890, tena mtakatifu tarehe 15 Mei 1897.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifo chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads