Antonio Rosmini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Antonio Francesco Davide Ambrogio Rosmini-Serbati (Rovereto, 25 Machi 1797 - Stresa, 1 Julai 1855) alikuwa padri na mwanafalsafa wa Italia aliyejihusisha na uhuru na umoja wa nchi yake.

Alianzisha shirika la Upendo (Warosmini[1]).
Baada ya falsafa yake kupingwa muda mrefu, tarehe 18 Novemba 2007 alitangazwa mwenye heri kwa mamlaka ya Papa Benedikto XVI.
Maandishi
Yaliyo muhimu zaidi ni:
- The origin of ideas. Ilitafsiriwa na anonymous (tol. la Translated from the 5th Italian). London: Keegan Paul, Trench. 1883. OCLC 818116370.
- The Principles of Moral Science (1831)
- The Restoration of Philosophy in Italy (1836)
- The Philosophy of Right (1841–45)
The following have also been translated into English:
- The constitution under social justice. Ilitafsiriwa na Alberto Mingardi. Lexington Books. 2006.
- A Catholic catechism. Ilitafsiriwa na William Seth Agar. 1849.
- Liddon, Henry P., mhr. (1883). Of the five wounds of the Holy Church (tol. la abridged).
- Maxims of Christian perfection. Ilitafsiriwa na anonymous. London: Richardson. 1849.
- 'Psychology (Anonymous) (1884–88)
- A short sketch of modern philosophies and of his own system. Ilitafsiriwa na William Lockhart. London: Burns and Oates. 1882. OCLC 551258110.
- The ruling principle of method applied to education. Ilitafsiriwa na Maria Georgina Grey. Boston: D.C. Heath. 1887. OCLC 769155902.
- Letters. Ilitafsiriwa na Dominic Gazzola. London [u.a.]: Washbourne [u.a.] 1901.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads