Apoloni wa Sardi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Apoloni wa Sardi alikuwa Mkristo wa karne ya 4 aliyeuawa kwa kusulubiwa huko Ikonio (katika Uturuki wa leo) kwa sababu ya imani yake[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadimishwa tarehe 10 Julai.[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads