Ardani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ardani
Remove ads

Ardani (alifariki 1056), alikuwa abati wa 13 wa Tournus, Burgundy, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 1028.

Thumb
Kanisa la abasia ya Tournus.

Wakati wa njaa iliyodumu miaka 1031-1033 alijitahidi kwa ukarimu mkubwa kusaidia fukara waliotaka kukata tamaa[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa hasa tarehe 11 Februari[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads