Argimiro

From Wikipedia, the free encyclopedia

Argimiro
Remove ads

Argimiro (Cabra, karne ya 8 - Cordoba, Hispania, 28 Juni 856) alikuwa Mkristo wa Hispania, ambaye baada ya kuacha cheo serikalini, akawa mmonaki na akiwa na umri mkubwa akateswa kikatili akauawa kwa upanga chini ya mtawala wa eneo hilo, Mohamed I wa Cordoba kwa kukataa kusilimu[1][2].

Thumb
Mahali panapotunza masalia yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila tarehe 28 Juni[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads