Armogaste

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Armogaste (alifariki 462 hivi) alikuwa Mkristo Mkatoliki wa ukoo bora ambaye aliteswa kikatili sana na Wavandali katika karne ya 5, wakati wa utawala wa mfalme Genseriki aliyekuwa Mwario. Hatimaye hakuuawa bali alifanywa mtumwa ili afe bila sifa ya kufia dini[1].

Habari zake zimeandikwa na askofu Vikta wa Vita[2].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 29 Machi pamoja na ya wenzake Arkinimo na Saturus[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads