Arnold Janssen
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Mtakatifu Arnold Janssen (Goch, Ujerumani,5 Novemba 1837 – Steyl, Uholanzi, 15 Januari 1909) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki aliyeanzisha mashirika ya wamisionari wa kiume na wa kike [1].

Alitangazwa na Papa Paulo VI kuwa mwenye heri tarehe 19 Oktoba 1975, na Papa Yohane Paulo II tarehe 5 Oktoba 2003 kuwa mtakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads