Aulo
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Aulo (pia: Augulo, Avolo; alifariki karne ya 7) alikuwa askofu wa 9 [1] wa Viviers (leo nchini Ufaransa) katika nusu ya kwanza ya karne ya 7 [2] akijulikana kwa huruma yake iliyomfanya afungue hospitali ya kwanza katika mji huo na kukomboa watumwa wengi [3].
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads