Aulo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Aulo (pia: Augulo, Avolo; alifariki karne ya 7) alikuwa askofu wa 9 [1] wa Viviers (leo nchini Ufaransa) katika nusu ya kwanza ya karne ya 7 [2] akijulikana kwa huruma yake iliyomfanya afungue hospitali ya kwanza katika mji huo na kukomboa watumwa wengi [3].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu[4].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 30 Aprili[5].

Tazama pia

Tanbihi

Vyanzo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads