Avertino

From Wikipedia, the free encyclopedia

Avertino
Remove ads

Avertino (pia: Iverzin; alifariki 1189) alikuwa shemasi mkaapweke karibu na Tours, Ufaransa.

Thumb
Sanamu ya Mt. Avertino huko huko Crach.

Rafiki wa Thomas Becket, alimsindikiza uhamishoni (1164), na baada ya kifodini chake (1170), alirudi Ufaransa kuishi upwekeni hadi alipofariki[1].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu[2][3].

Sikukuu yake ni tarehe 5 Mei[4].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads