Avignon
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Avignon ni mji wa Ufaransa kusini.


Katika historia unakumbukwa hasa kwa sababu katika miaka 1309-1377 Mapapa saba walikuwa na makao yao huko badala ya kuishi mjini Roma.
Katika miaka 1348-1791 Papa alikuwa ndiye mtawala wa mji huo.
Kwa sababu hizo, mwaka 1995 kiini cha mji huo kimetangazwa mahali pa Urithi wa Dunia.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Vyanzo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Avignon travel guide kutoka Wikisafiri
- Tourist office website Ilihifadhiwa 23 Aprili 2017 kwenye Wayback Machine.
- City council website Ilihifadhiwa 11 Februari 2007 kwenye Wayback Machine.
- Avignon theatre festival website (Kifaransa)
- Avignon greater metropolitan area website Ilihifadhiwa 5 Februari 2017 kwenye Wayback Machine. (Kifaransa)
- Avignon on the 1750 Cassini Map
![]() |
Makala hii kuhusu maeneo ya Ufaransa bado ni mbegu. Je unajua kitu kuhusu Avignon kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni? Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads