Bahri

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bahri
Remove ads

Bahri au "Khartoum Bahri" (Kar: الخرطوم بحري al-Khartūm Bahrī = "Khartoum ya bahari yaani mtoni") ni mji wa Sudan jirani ya Khartoum upande wa kaskazini wa Nile ya buluu. Unaitwa pia "Khartoum ya kaskazini". Hata kama ni mji wa pekee kisheria, kihalisia Bahri pamoja na miji ya Omdurman na Khartoum ni kama mji mmoja mkubwa sana unaounganishwa na madaraja kadhaa.

Thumb
Mji wa Bahri
Thumb
Ramani ya Bahri pamoja na Omdurman na Khartoum

Bahri imekadiriwa kuwa na wakazi milioni 1.6 mwaka 2006.

Remove ads

Tazama pia

Makala hii kuhusu maeneo ya Sudan bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Bahri kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads