Baldo wa Tours

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Baldo wa Tours (pia: Baudin, Baud, Baldus; alifariki 552 hivi) alikuwa askofu wa 16 wa mji huo, leo nchini Ufaransa, kuanzia mwaka 546.

Kabla ya hapo alikuwa na cheo ikulu, mke na watoto. Alipochaguliwa aliwagawia fukara dhahabu iliyoachwa na mtangulizi wake [1].

Gregori wa Tours aliandika habari zake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 7 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads