Barsen

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Barsen wa Edessa (pia: Barses, Barsus, Barsas; alifariki Filo au Thenon, Misri, Machi 378) alikuwa askofu wa Carre, halafu askofu mkuu wa Edessa, leo Urfa, nchini Uturuki, kuanzia mwaka 361, baada ya kuishi miaka mingi kama mkaapweke.

Mwaka 373 alifukuzwa jimboni kutokana na dhuluma ya kaisari Valens aliyetetea Uario [1]. Kwanza alipelekwa katika kisiwa cha Arwad, huko Foinike (leo nchini Syria), halafu el-Bahnasa, Misri, hatimaye mbali zaidi na watu karibu na Libya.

Tangu kale anaheshimiwa na Waorthodoksi na Wakatoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 15 Oktoba[2] au 25 Agosti.

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads