Bernard Feringa

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bernard Feringa
Remove ads

Bernard Lucas „Ben“ Feringa (amezaliwa 18 Mei 1951) ni mwanakemia kutoka nchi ya Uholanzi.

Thumb
Thumb
Bernard Feringa

Hasa alichunguza jinsi molekuli kubwa zinaweza kuunganishwa kwa shabaha ya kuunda injini ya kimolekuli. Mwaka wa 2016, pamoja na Jean-Pierre Sauvage na James Fraser Stoddart alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa michango yake ya kubuni na kuunda injini za kimolekuli[1][2][3] [4].

Remove ads

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads