James Fraser Stoddart

From Wikipedia, the free encyclopedia

James Fraser Stoddart
Remove ads

James Fraser Stoddart (24 Mei 1942 - 30 Desemba 2024) ni mwanakemia kutoka nchi ya Uskoti. Alifanya kazi katika Uskoti, Uingereza, Kanada na tangu mwaka 2002 Marekani. Hasa alichunguza jinsi molekuli kubwa zinaweza kuunganishwa kwa shabaha ya kuunda injini ya kimolekuli. Mwaka wa 2016, pamoja na Jean-Pierre Sauvage na Bernard Feringa alikuwa mshindi wa Tuzo ya Nobel ya Kemia kwa michango yake ya kubuni na kuunda injini za kimolekuli[1][2][3] [4].

Thumb
Thumb
Stoddart (2016)
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads