Bertino wa Sithieu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bertino wa Sithieu (Konstanz, leo nchini Ujerumani, 615 - Therouanne, leo nchini Ufaransa, 698 hivi) alikuwa mmonaki wa Kanisa Katoliki, mwanafunzi wa Kolumbani.

Pamoja na Momelini alianzisha monasteri iliyovutia miito mingi akafanya umisionari mkubwa Kaskazini mwa Ufaransa[1] [2].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.
Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Septemba[3].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads