Bertino wa Sithieu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Bertino wa Sithieu
Remove ads

Bertino wa Sithieu (Konstanz, leo nchini Ujerumani, 615 - Therouanne, leo nchini Ufaransa, 698 hivi) alikuwa mmonaki wa Kanisa Katoliki, mwanafunzi wa Kolumbani.

Thumb
Mt. Bertino alivyochorwa.

Pamoja na Momelini alianzisha monasteri iliyovutia miito mingi akafanya umisionari mkubwa Kaskazini mwa Ufaransa[1] [2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 5 Septemba[3].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads