Bianori na Silvani
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bianori na Silvani (walifariki katika Pisidia, leo nchini Uturuki, karne ya 4) walikuwa Wakristo amba owaliuawa kwa kukatwa kichwa kutokana naimani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Licinius[1].
Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads