Bili wa Vannes

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Bili wa Vannes (au Bille, Bily au Bilius; alizaliwa karne ya 9 - alifariki 915/919) alikuwa askofu wa 31 wa Vannes, Bretagne (leo nchini Ufaransa) kuanzia mwaka 892 hivi hadi kifodini chake kinachosemekana kilimpata kwa mikono ya Wavikingi walipoangamiza mji huo [1].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 23 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads