Binti (albamu)

From Wikipedia, the free encyclopedia

Binti (albamu)
Remove ads

Binti ni jina la albamu ya pili ya mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania, Lady Jay Dee. Albamu imetoka mwaka wa 2003. Albamu imetayarishwa na studio mbalimbali jijini za jijini Dar es Salaam. Kama kawaida ya wasanii wengi wa kipindi hiki, kunakuwa na kurudiwa nyimbo za wakati ule zilizoimbwa na wakongwe wa muziki wa dansi wa nchini Tanzania. Nyimbo hizo ni pamoja na Siwema ya Marijani Rajabu.[1] Albamu iliyopita alirudia wimbo wa Shida wa Mbarak Mwinshehe.[2]

Ukweli wa haraka Studio album ya Lady Jay Dee, Imetolewa ...
Remove ads

Orodha ya nyimbo

  • Usiuseme moyo
  • Siri yangu
  • Mwanionaje?
  • Mawazo (feat. Mwanafalsafa)
  • Wanaume kama mabinti (feat. AY) link
  • Boyfriend wa D'Salaam link
  • Kifo
  • Binti link
  • Zaina
  • Muhogo wa Jang'ombe link
  • Siwema link
  • Machozi (remix)

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads