Machozi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Machozi
Remove ads

Machozi ni jina la albamu ya kwanza ya mwimbaji wa muziki wa kizazi kipya kutoka nchini Tanzania, Lady Jay Dee. Albamu imetoka mwaka wa 2000. Albamu imetayarishwa katika studio za Master Jay, jijini Dar es Salaam. Hii ni albamu ya kwanza ya muziki wa kizazi kipya kwa kutumia gharama kubwa sana katika utayarishaji kuliko albamu zote zilizotoka mwanzoni mwa miaka ya 2000. Wakati ndio hasa Smooth Vibe Project ilikuwa inasimamia kazi za wasanii wengi wa Tanzania.[1]

Ukweli wa haraka Studio album ya Lady Jay Dee, Imetolewa ...
Remove ads
Remove ads

Orodha ya nyimbo

  • Machozi (remix)
  • Nalia
  • Penzi la milele
  • Pumziko
  • Waweza kwenda (Rajabu's mix)
  • Nakupenda
  • Nimekubali (akiwa na Ray C)
  • Matatizo
  • Tatiza
  • Shida
  • Umuhimu wako
  • Waweza kwenda (JM mix)

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads