Birdman

From Wikipedia, the free encyclopedia

Birdman
Remove ads

Bryan "Baby" Williams (amezaliwa tar. 15 Februari 1969) ni rapa, mtayarishaji na mc kutoka nchini Marekani. Anafahamika zaidi kwa jina la "Baby".

Ukweli wa haraka Birdman ...

Mnamo mwaka 1991, Baby na kaka yake mkubwa - Ronald "Slim" Williams walianzisha studio ya muziki wa hip-hop maarufu kama Cash Money Records. Hapo awali alikuwa akitumuia jina la B-32 (Baby With The 32 Golds) na akatumia jina hilohilo kwa kutoa albamu yake ya kwanza ilioyokwendakwa jina la I Need a Bag of Dope kunako mwaka wa 1993.

Miaka ya usoni, akiwa bado anatumia jina la "Baby", Williams alirekodi albamu kadhaa akiwa na mtayrishaji wa muziki huo Bw. Mannie Fresh kama kundi la Big Tymers na kufanya kazi kama studio yake binafsi na kazi alkadharika.

Kunako tarehe 11 Desemba ya mwaka wa 2007, Williams ametoa albamu yake iitwayo 5 Star Stunna.

Mnamo mwezi wa Novemba 2007, Williams alitiwa mbaroni kwa kosa la kukutanika na fulushi la bangi. Aliachia huru kwa faini ya Dola za Kimarekani zipatazo 1,500.

Remove ads

Muziki

Makala kuu: Orodha ya Nyimbo na Albamu za Birdman

Albamu zake

  • 1993: I Need a Bag of Dope
  • 2002: Birdman
  • 2005: Fast Money
  • 2007: 5 Star Stunna

Za ushirika

  • 1998: How You Luv That (with Big Tymers)
  • 1998: How You Luv That Vol. 2 (akiwa na Big Tymers)
  • 1999: Guerrilla Warfare (Hot Boys na Big Tymers)
  • 2000: I Got That Work (akiwa na Big Tymers)
  • 2002: Hood Rich (akiwa na Big Tymers)
  • 2003: Big Money Heavyweight (akiwa na Big Tymers)
  • 2006: Like Father, Like Son (akiwa na Lil Wayne)
  • 2008: Bald Eagles Fly High (akiwa na Rick Ross)[1]
Remove ads

Filamu

  • 2000: Baller Blockin

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads