Blasi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Blasi
Remove ads

Blasi (kwa Kiarmenia: Վլասի, Vlasi; kwa Kigiriki Βλάσιος, Blasios) alikuwa mganga na askofu wa Sebaste katika Armenia ya Kale (leo Sivas, Uturuki).

Thumb
Mt. Blasi akimkabili gavana wa Kirumi, Soissons (Picardy, France), mwanzoni mwa karne ya 13.

Aliuawa kwa ajili ya imani yake ya Kikristo mwaka 316 katika dhuluma ya kaisari Licinius[1].

Ndiyo sababu anaheshimiwa na madhehebu mengi kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa na Ukristo wa magharibi tarehe 3 Februari[2], kumbe mashariki tarehe 11 Februari.[3]

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads