Brian Acton

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Brian Acton (alizaliwa mnamo 1972) ni muundaji wa programu za kompyuta wa nchini Marekani na mjasiriamali wa mtandao .[1], Pia anahudumu kama mkurugenzi mtendaji wa muda wa mtandao wa Signal Messenger LLC.[2]

Hapo awali alikuwa ameajiriwa na Yahoo!, na kuanzisha kwa pamoja WhatsApp,[3] programu ya kutuma ujumbe kwa simu ambayo ilinunuliwa na Facebook mnamo Februari 2014 kwa dola za Marekani bilioni 19, na Jan Koum. Acton aliondoka WhatsApp mnamo Septemba 2017 na kuanzisha shirika la Signal.[4] Kulingana na gazeti la Forbes (2020), Acton ndiye tajiri wa 836 zaidi duniani, akiwa na utajiri wa dola bilioni 2.5.[3]


Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads