Brito

From Wikipedia, the free encyclopedia

Brito
Remove ads

Brito (alifariki 386) alikuwa askofu wa mji huo[1][2][3] wa Galia, leo nchini Ujerumani) kuanzia mwaka 374 hadi kifo chake.

Thumb
Orodha ya maaskofu wa Trier.

Kama watangulizi wake alipigania imani sahihi; alisimama dhidi ya Waprisiliani lakini alijitahidi bure, pamoja na Ambrosi na Hilari wa Poitiers, kuzuia wasiwaue na watu wakatili [4].

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama mtakatifu.

Sikukuu yake inaadhimishwa kila mwaka tarehe 5 Mei[5].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads