Bububu
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Bububu ni kata ya Wilaya ya Unguja Magharibi A katika Mkoa wa Mjini Magharibi Unguja, Tanzania.
Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 5,646 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2002, kata ilikuwa na wakazi wapatao 13.127 waishio humo. [2]
Jina "Bububu" limetokana na sauti ya reli ya kwanza ya Unguja iliyojengwa hapa mnamo mwaka 1905.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads